Sunday, September 2, 2012

Kwa nini Mungu akutendee wewe

Ili Mungu akutendee kuna shughuli...maana kuna kundi la watu kila siku kila saa wanapiga magoti mahali fulani wakiomba Mungu nao watendewe lile lile unaloomba wewe au zaidi ya la kwako...swali kwa nini akutendee wewe na awaache wengine.
Ni maneno yaliyosemwa na Pastor Matthew sasali alipokuwa akihubiri jumapili ya leo katika kanisa la TAG Galilaya(Katumba-Tukuyu).

No comments:

Post a Comment