Sunday, June 24, 2012

Principles of Receiving from God

Pastor Matthew Sasali akiongea na wanafunzi wa chuo kikuu Mzumbe,Mbeya Campus juu ya kanuni muhimu ya mtu kupokea haja yake kutoka kwa Mungu,mwishoni wa wiki hili,hii ni katika kuhitimisha semina yake ya siku tatu chuoni hapo.Pastor Matt alitaja kanuni hizo ni
1.Kuna na Uelewa wa Kutosha juu ya Mungu unayemwomba
a.Omnipresent(yuko kila mahali) b.Omniscient(anajua yote) c.Omnipotent(mwenye nguvu zote)
2.Kwa kadri unavyomwelewa Mungu,ndivyo Imani yako kwa Mungu Huongezeka
3.Ni bora kuwa na Imani ndogo kwa Mungu mkubwa,kuliko Imani kubwa kwa Mungu Mdogo.
Pastor Matt aliyasema hayo na kufanya maombi nawanafunzi hao ili kuwaandaa na mitihani yao ya kumaliza mwaka.

No comments:

Post a Comment